• HABARI MPYA

    Friday, October 09, 2020

    AZAM FC KUMENYANA NA MAFUNZO YA ZANZIBAR KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI JUMAMOSI CHAMAZI


    VINARA wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Azam FC, wanatarajia kukipiga dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar kwenye mchezo wa kirafiki utakaofanyika Uwanja wa Azam Complex kesho Jumamosi saa 1.00 usiku.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC KUMENYANA NA MAFUNZO YA ZANZIBAR KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI JUMAMOSI CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top