• HABARI MPYA

    Saturday, October 10, 2020

    FIRMINO APIGA MBILI BRAZIL YAIPIGA BOLIVIA 5-0 KOMBE LA DUNIA


    Wachezaji wa Brazil wakimpongeza Roberto Firmino baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 30 na 49 katika ushindi wa 5-0 wa Brazil dhidi ya Bolivia 5-0 kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2022 kwa Amerika ya Kusini Alfajiri ya leo Uwanja wa Neo Quimica Arena Jijini Sao Paulo
    . Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Marquinhos dakika ya 16, Jose Carrasco aliyejifunga dakika ya 66 na Philippe Coutinho dakika ya 73 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FIRMINO APIGA MBILI BRAZIL YAIPIGA BOLIVIA 5-0 KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top