• HABARI MPYA

    Friday, October 16, 2020

    MAPOKEZI YA KOCHA MPYA WA KLABU YA YANGA, MRUNDI KAZE CEDRIC JANA UWANJA WA NDEGE WA JNIA

     

    Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga SC, Mhandisi Hersi Said ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa kampuni ya GSM, wadhamini wa klabu hiyo akiwa na kocha mpya wa klabu hiyo, Mrundi Cedric Kaze baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jana 

    Kocha mpya wa Yanga SC, Mrundi Cedric Kaze baada ya kuwasili JNIA, Dar es Salaam jana 
    Mashabiki wa Yanga waliojitokeza kumlaki kocha mpya, Mrundi Cedric Kaze

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAPOKEZI YA KOCHA MPYA WA KLABU YA YANGA, MRUNDI KAZE CEDRIC JANA UWANJA WA NDEGE WA JNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top