• HABARI MPYA

    Monday, October 26, 2020

    VARDY APIGA BAO PEKEE LEICESTER YAILAZA ARSENAL 1-0 EMIRATES


    Mshambuliaji Jamie Vardy akishangilia baada ya kuifungia Leicester City bao pekee dakika ya 80 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VARDY APIGA BAO PEKEE LEICESTER YAILAZA ARSENAL 1-0 EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top