• HABARI MPYA

    Thursday, October 29, 2020

    NEYMAR AUMIA, PSG YASHINDA 2-0 UTURUKI LIGI YA MABINGWA


    Mshambuliaji Neymar akitoka nje dakika ya 27 baada ya kuumia kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain ikishinda 2-0 dhidi ya wenyeji, Istanbul Basaksehir, mabao ya Moise Kean dakika ya 64 na 79 Uwanja wa Başakşehir Fatih Terim jijini İstanbul
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEYMAR AUMIA, PSG YASHINDA 2-0 UTURUKI LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top