• HABARI MPYA

    Friday, October 09, 2020

    MORRISON, MIQUISSONE NA NYOTA WENGINE SIMBA SC WAKIJIFUA GYM KUONGEZA NGUVU ZAIDI MIILINI MWAO

    Viungo washambuliaji wa Simba SC, Mghana Bernard Morrison (kushoto) na Luis Miquissone kutoka Msumbiji (kulia) wakifanya mazoezi ya kuongeza nguvu mwilini kipindi hiki cha mapumziko mafupi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kupisha mechi za kimataifa

    Wachezaji wa Simba SC wakifanya mazoezi ya kuongeza nguvu mwilini gym kipindi hiki cha mapumziko mafupi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kupisha mechi za kimataifa 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MORRISON, MIQUISSONE NA NYOTA WENGINE SIMBA SC WAKIJIFUA GYM KUONGEZA NGUVU ZAIDI MIILINI MWAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top