Viungo washambuliaji wa Simba SC, Mghana Bernard Morrison (kushoto) na Luis Miquissone kutoka Msumbiji (kulia) wakifanya mazoezi ya kuongeza nguvu mwilini kipindi hiki cha mapumziko mafupi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kupisha mechi za kimataifa
Wachezaji wa Simba SC wakifanya mazoezi ya kuongeza nguvu mwilini gym kipindi hiki cha mapumziko mafupi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kupisha mechi za kimataifa
Arsenal pondering on Memphis Depay move
-
English side Arsenal are pondering a move for FC Barcelona striker Memphis
Depay according to the latest reports. Depay joined Barca last season but
has fa...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni