• HABARI MPYA

    Saturday, October 17, 2020

    REAL MADRID WAPIGWA NYUMBANI 1-0 NA WALIOPANDA MSIMU HUU


    Anthony Lozano (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Cadiz bao pekee dakika ya 16 ikiwalaza wenyeji, Real Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Alfredo Di Stéfano Jijini Madrid. Cadiz imerejea La Liga msimu huu baada ya miaka 14
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID WAPIGWA NYUMBANI 1-0 NA WALIOPANDA MSIMU HUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top