• HABARI MPYA

    Thursday, October 22, 2020

    COMAN APIGA MBILI BAYERN MUNICH YAICHAPA ATLETICO 4-0


    Kingsley Coman akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 28 na 72 katika ushindi wa 4-0 wa Bayern Munich dhidi ya Atletico Madrid, mabao mengine yakifungwa na Leon Goretzka dakika ya 41 na Corentin Tolisso dakika ya 66 kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich, Ujerumani 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COMAN APIGA MBILI BAYERN MUNICH YAICHAPA ATLETICO 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top