Kiungo wa Mtibwa Sugar, Hassan Dilunga akisaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na Simba SC leo mjini Dar es Salaam. Dilunga anayesajiliwa siku moja baada ya Simba SC kufungwa 1-0 na Azam FC katika fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame alikuwa anatakiwa pia na klabu yake ya zamani, Yanga SC
Ireland fight back to deny Wallabies in thriller
-
Replacement Australia fly-half Ben Donaldson misses a last-gasp penalty as
Ireland claim a comeback bonus-point win in an enthralling Nations
Championship ...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment