• HABARI MPYA

    Wednesday, July 25, 2018

    MOUTINHO ATUA WOLVES KWA PAUNI MILIONI 5 KUTOKA MONACO

    Kiungo Mreno, Joao Moutinho akiwa na jezi ya wageni katika Ligi Kuu ya England, Wolves baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 5 kutoka Monaco ya Ufaransa. Moutinho ni mchezaji wa tatu kuichezea mechi nyingi Ureno baada ya Cristiano Ronaldo na Luis Figo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOUTINHO ATUA WOLVES KWA PAUNI MILIONI 5 KUTOKA MONACO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top