Kiungo wa Yanga Sc, Raphael Daudi (kushoto) akimlamba chenga Nahodha wa Gor Mahia, Harun Shakava katika mchezo wa Kundi D Kombe la Shirikisho jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Gor Mahia ilishinda 3-2
Beki wa Yanga, Juma Abdul akipambana na kiungo wa Gor Mahia, George Odhiambo 'Blackberry'
Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony akimtoka beki wa Gor Mahia, Joash Onyango (katikati)
Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akimvisha kanzu mchezaji wa Gor Mahia
Kiungo wa Gor Mahia, Francis Kahata akimtoka Yussuf Mhilu wa Yanga
Kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke akipambana katikati ya wachezaji wa Gor Mahia
Yussuf Mhilu wa Yanga akiwatoka wachezaji wa Gor Mahia
Wachezaji wa Yanga na Gor Mahia wakiingia uwanjani kwa ajili ya mchezo wa jana
Kikosi cha Yanga SC katika mchezo wa jana
Kikosi cha Gor Mahia katika mchezo wa jana
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
48 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment