• HABARI MPYA

    Monday, July 30, 2018

    YANGA NA GOR MAHIA KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA

    Kiungo wa Yanga Sc, Raphael Daudi (kushoto) akimlamba chenga Nahodha wa Gor Mahia, Harun Shakava katika mchezo wa Kundi D Kombe la Shirikisho jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Gor Mahia ilishinda 3-2 
    Beki wa Yanga, Juma Abdul akipambana na kiungo wa Gor Mahia, George Odhiambo 'Blackberry' 
    Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony akimtoka beki wa Gor Mahia, Joash Onyango (katikati) 
    Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akimvisha kanzu mchezaji wa Gor Mahia  
    Kiungo wa Gor Mahia, Francis Kahata akimtoka Yussuf Mhilu wa Yanga 
    Kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke akipambana katikati ya wachezaji wa Gor Mahia
    Yussuf Mhilu wa Yanga akiwatoka wachezaji wa Gor Mahia  
    Wachezaji wa Yanga na Gor Mahia wakiingia uwanjani kwa ajili ya mchezo wa jana 
    Kikosi cha Yanga SC katika mchezo wa jana
    Kikosi cha Gor Mahia katika mchezo wa jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA GOR MAHIA KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top