Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 63, zikiwa ni sekunde 52 tangu aingie kutokea benchi kuchukua nafasi ya Curtis Jones Wekundu hao wa Anfield wakitibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani. Man City walitangulia kwa bao la Leroy Sane dakika ya 57 na Liverpool ilipata bao lake la ushindi kupitia kwa mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane aliyefunga kwa penalti baada ya Dom Solanke kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iranian World Cup team risks more Trump fury with defiant act after landing
in Mexico amid bitter visa feud
-
Amid the ongoing conflict between the two countries, America has refused to
issue visas to some members of Iran's staff for the 2026 World Cup, which
gets ...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment