• HABARI MPYA

    Thursday, July 26, 2018

    SALAH ATOKEA BENCHI NA KUISAIDIA LIVERPOOL KUIPIGA MAN CITY

    Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 63, zikiwa ni sekunde 52 tangu aingie kutokea benchi kuchukua nafasi ya Curtis Jones Wekundu hao wa Anfield wakitibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani. Man City walitangulia kwa bao la Leroy Sane dakika ya 57 na Liverpool ilipata bao lake la ushindi kupitia kwa mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane aliyefunga kwa penalti baada ya  Dom Solanke kuangushwa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SALAH ATOKEA BENCHI NA KUISAIDIA LIVERPOOL KUIPIGA MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top