Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 63, zikiwa ni sekunde 52 tangu aingie kutokea benchi kuchukua nafasi ya Curtis Jones Wekundu hao wa Anfield wakitibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani. Man City walitangulia kwa bao la Leroy Sane dakika ya 57 na Liverpool ilipata bao lake la ushindi kupitia kwa mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane aliyefunga kwa penalti baada ya Dom Solanke kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment