Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 63, zikiwa ni sekunde 52 tangu aingie kutokea benchi kuchukua nafasi ya Curtis Jones Wekundu hao wa Anfield wakitibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani. Man City walitangulia kwa bao la Leroy Sane dakika ya 57 na Liverpool ilipata bao lake la ushindi kupitia kwa mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane aliyefunga kwa penalti baada ya Dom Solanke kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Will Smeed hits scintillating first century of The Hundred as he announces himself on the big stage
-
The 20-year-old's scintillating 101 not out from 50 balls included six
sixes and eight fours as he helped his side to 176/4 from their 100 balls,
before Sp...
Dakika 25 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni