• HABARI MPYA

    Monday, July 23, 2018

    SIMBA WALIVYOENDELEA NA MAZOEZI LEO KATIKA KAMBI YAO YA ISTANBUL

    Kocha mpya wa Simba SC, Mbelgiji Patrick J Aussems akiwaongoza mazoezini wachezaji wa timu hiyo leo mjini Istanbul, Uturuki katika kambi yao ya kujiandaa na msimu mpya 
    Wachezaji wa Simba SC wakiwa mazoezini leo mjini Istanbul, Uturuki katika kambi yao ya kujiandaa na msimu mpya  
    Nahodha John Bocco akiwangoza wachezaji wenzake leo mjini Istanbul 
    Nahodha John Bocco akipiga dana dana leo mjini Istanbul 
    Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi akichezea mpira mazoezini leo mjini Istanbul
    Kocha Mbelgiji wa Simba SC, Patrick Aussems akiwatazama vijana wake mazoezini  
    Mshambuliaji mpya kutoka Zambia, Cletus Chama akiwaongoza wenzake mazoezini 
    Wachezaji wa Simba SC wakiwa na rafiki yao uwanjani hapo 
     Kutoka kulia Mohammed Hussein 'Tshabalala', Emmanuel Okwi, Adam Salamba na Yussuf Mlipili 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA WALIVYOENDELEA NA MAZOEZI LEO KATIKA KAMBI YAO YA ISTANBUL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top