Kipa mpya wa Liverpool, Alisson Becker akichupia mpira kwenye mazoezi ya timu hiyo leo mjini Evian-les-Bains kusini mashariki mwa Ufaransa, hiyo ikiwa mara yake ya kwanza tangu ajiunge nayo kwa dau la Pauni Milioni 65 kutoka Roma baada ya kung'ara kwenye fainali za Kombe la Dunia akiwa anaidakia timu yake ya taifa, Brazil nchini Urusi mwezi huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Premier League clubs face MORE mayhem next season as fixture
dates for 2024/25 are released... and there are 'no obvious solutions' to
some of the clashes between European and domestic games
-
Top teams face the possibility of three clashes between midweek European
games and Carabao Cup assignments.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment