Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 67 na 71 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya PSG katika mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa Taifa wa Singapore leo. Mabao mengine ya Arsenal ambayo sasa ipo chini ya kocha Mspaniola Unai Emery aliyemrithi Mfaransa Arsene Wenger yamefungwa na Mesut Ozil dakika ya 13, Rob Holding dakika ya 87 na Eddie Nketiah dakika ya 90 na ushei, wakati la PSG limefungwa na Christopher Nkunku dakika ya 60 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham show support to former academy player Sam Cox as interim manager
looks to ensure Wealdstone avoid relegation on final day of National League
season
-
One of the clubs with all to play for on Saturday lunchtime is Wealdstone
whose manager Sam Cox is a former Spurs academy team-mate of Harry Kane,
Ryan Mas...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment