• HABARI MPYA

    Monday, July 30, 2018

    RONALDO AWASILI TURIN KUANZA RASMI KAZI JUVENTUS

    Ronaldo akipunga mikono baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Turin nchini Italia jana kujiunga rasmi na timu yake mpya, Juventus kwa maandalizi ya msimu mpya kufuatia uhamisho wa Pauni Milioni 100 kutoka Real Madrid 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AWASILI TURIN KUANZA RASMI KAZI JUVENTUS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top