Mshambuliaji Msenegali wa Liverpool, Sadio Mane akiwa ameshika jezi mpya, namba 10 atakayokuwa akivaa kuanzia msimu ujao ambayo awali ilikuwa inatumiwa na Mbrazil, Philippe Coutinho aliyehamia Barcelona Januari mwaka huu. Mane alikuwa anavaa jezi namba 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benfica's Prestianni banned for homophobic conduct in Real Madrid tie
-
Gianluca Prestianni is given a six-game ban by Uefa for homophobic conduct
during Benfica's Champions League knockout play-off matched with Real
Madrid in ...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment