Rais wa Real Madrid, Florentino Perez (kulia) akimkabidhi jezi ya timu hiyo, beki Alvaro Odriozola baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 35 kutoka Real Sociedad leo, huu ukiwa usajili wa kwanza tangu wamuuze nyota wao mkubwa, Cristiano Ronaldo kwenda Juventus kwa Pauni Milioni 100 juzi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dramatic video shows moments Greenville County deputies save baby's life
-
Recently, deputies with the Greenville County Sheriff's Office saved the
life of a young child who fell into a swimming pool and stopped breathing.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment