Rais wa Real Madrid, Florentino Perez (kulia) akimkabidhi jezi ya timu hiyo, beki Alvaro Odriozola baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 35 kutoka Real Sociedad leo, huu ukiwa usajili wa kwanza tangu wamuuze nyota wao mkubwa, Cristiano Ronaldo kwenda Juventus kwa Pauni Milioni 100 juzi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment