Pedro akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Chelsea dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Inter Milan kabla ya kushinda kwa penalti 5-4 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku huu Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice, Ufaransa. Roberto Gagliardini aliisawazishia Inter dakika ya 49 akitumia makosa ya Tiemoue Bakayoko kabla ya Cesar Azpilicueta kufunga penalti ya ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheeky cat tries to steal anglers' catch in Istanbul
-
A cheeky cat tried to swipe an angler's catch from a plastic bottle in
Maltepe, Istanbul, in early July. But the little thief's plan backfired
completely.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment