Pedro akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Chelsea dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Inter Milan kabla ya kushinda kwa penalti 5-4 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku huu Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice, Ufaransa. Roberto Gagliardini aliisawazishia Inter dakika ya 49 akitumia makosa ya Tiemoue Bakayoko kabla ya Cesar Azpilicueta kufunga penalti ya ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders coach Ricky Stuart reveals whether recent Des Hasler blue outside
the dressing room in Canberra ruined a 35-year friendship
-
Raiders coach Ricky Stuart has addressed suggestions of a feud with Titans
counterpart Des Hasler. It follows ugly scenes outside the dressing rooms
in Can...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment