• HABARI MPYA

    Tuesday, July 31, 2018

    SIMBA SC MAZOEZINI LEO ISTANBUL MAANDALIZI YA MSIMU MPYA

    Wachezaji wa Simba SC ya Dar es Salaam wakifanya mazoezi kwenye viwanja vya hoteli ya Reen Park & Resorts mjini Istanbul, Uturuki walipoweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya
    Hapa mabeki Erasto Nyoni (kulia) na Serge Wawa Pascal (wa nne kutoka kulia) wakiwadhibiti washambuliaji Emmanuel Okwi na Meddie Kagere katikati yao
    Mshambuliaji Mohammed Abdallah akimiliki mpira pembeni ya beki Mohammed Hussein 'Tshabalala'
    Kipa Deogratius Munishi 'Dida' akijiandaa kudaka  
    Wachezaji wa Simba SC wakipambana mazoezini mjini Istanbul
    Kocha mpya wa Simba SC, Mbelgiji Patrick J Aussems akiwapa mawaidha wachezaji leo mazoezini
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC MAZOEZINI LEO ISTANBUL MAANDALIZI YA MSIMU MPYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top