Kiungo Mtaliano mwenye asili ya Brazil, Jorge Luiz Frello Filho 'Jorginho' akiwa ameshika jezi ya Chelsea pamoja na kocha mpya wa timu hiyo, Maurizio Sarri kufuatia kukamilisha uhamisho wa Pauni 57 kutoka Napoli ya Italia. Jorginho alikuwa anatakiwa pia na Manchester City ambao wamelalamika Napoli kumlazimisha mchezaji huyo kuhamia Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fitzpatrick beats Scheffler in Heritage play-off
-
England's Matt Fitzpatrick beats world number one Scottie Scheffler in a
play-off to win the RBC Heritage and claim his second PGA Tour title in the
space ...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment