Kiungo Mtaliano mwenye asili ya Brazil, Jorge Luiz Frello Filho 'Jorginho' akiwa ameshika jezi ya Chelsea pamoja na kocha mpya wa timu hiyo, Maurizio Sarri kufuatia kukamilisha uhamisho wa Pauni 57 kutoka Napoli ya Italia. Jorginho alikuwa anatakiwa pia na Manchester City ambao wamelalamika Napoli kumlazimisha mchezaji huyo kuhamia Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Red Bull confirm design chief Newey's exit
-
Red Bull confirm their design chief Adrian Newey will leave the team in
2025.
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment