Mshambuliaji Daniel Lyanga akiwa ameshika jezi ya Azam FC baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga na klabu hiyo kufuatia kuitumikia kwa muda mfupi Singida United akitokea Fanja ya Oman, ambayo ilimsajili kutoka Simba ya Dar es Salaam pia. Lyanga anakwenda kuziba nafasi ya mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda aliyetolewa kwa mkopo Tenerife ya Hispania
We’ll produce our own candidates, no alliances, says NRM
-
From Okwe Obi, Abuja Ahead of the 2027 polls, the National Rescue Movement
(NRM) has ruled out plans to form alliances with the All Progressives
Congress...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment