Mshambuliaji Daniel Lyanga akiwa ameshika jezi ya Azam FC baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga na klabu hiyo kufuatia kuitumikia kwa muda mfupi Singida United akitokea Fanja ya Oman, ambayo ilimsajili kutoka Simba ya Dar es Salaam pia. Lyanga anakwenda kuziba nafasi ya mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda aliyetolewa kwa mkopo Tenerife ya Hispania
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment