Mshambuliaji Daniel Lyanga akiwa ameshika jezi ya Azam FC baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga na klabu hiyo kufuatia kuitumikia kwa muda mfupi Singida United akitokea Fanja ya Oman, ambayo ilimsajili kutoka Simba ya Dar es Salaam pia. Lyanga anakwenda kuziba nafasi ya mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda aliyetolewa kwa mkopo Tenerife ya Hispania
Hamburg coach Tim Walter heaps praise on Ghanaian forward Aaron Opoku
-
Hamburg coach Tim Walter showered praises on Ghanaian forward Aaron Opoku
for his performances in the game against Bayreuth and Heidenheim.The
23-year-old...
Dakika 27 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni