Mshambuliaji Daniel Lyanga akiwa ameshika jezi ya Azam FC baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga na klabu hiyo kufuatia kuitumikia kwa muda mfupi Singida United akitokea Fanja ya Oman, ambayo ilimsajili kutoka Simba ya Dar es Salaam pia. Lyanga anakwenda kuziba nafasi ya mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda aliyetolewa kwa mkopo Tenerife ya Hispania
Marouane Fellaini sheds new light on David Moyes' nightmare spell at Man
United - and labels it the 'worst season' he has ever experienced
-
Marouane Fellaini has admitted his first year at Manchester United was 'the
worst season of his career' as the club struggled under David Moyes.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment