Kiungo Mfaransa wa Manchester United, Paul Pogba akiwa amevaa jezi namba 21 ya timu ya taifa ya Argentina, ambayo huvaliwa na mchezaji mwenzake wa zamani Juventus, Paulo Dybala. Pogba aliyeipa Ufaransa Kombe la Dunia mwezi huu nchini Urusi, michuano ambayo Argentina haikufanya vizuri amepigwa picha hiyo katika kambi ya Manchester United kujiandaa na msimu mpya mjini Los Angeles, Marekani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
1 Trade Each NFL Contender Should Consider to Fill Biggest Weakness
-
Three weeks into the 2024 NFL year, and we're starting to shift our
attention from the aftermath of free agency to the draft. But general
managers should…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment