• HABARI MPYA

    Wednesday, July 25, 2018

    MAIMUNA NA HAPPY KUPIGANA AGOSTI 8 MBAGALA

    Mabondia wa kike Maimuna Hashim (kushoto) na Happy Daudi (kulia) wakichimbana mikwara baada ya kusaini mkataba wa kupigana Agosti 8, mwaka huu katika ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala mjini Dar es Salaam, siku ambayo pambano kuu litakuwa kati ya Said Mbelwa 'Moto wa Gesi' na Abdallah Pazi 'Dula Mbabe' 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAIMUNA NA HAPPY KUPIGANA AGOSTI 8 MBAGALA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top