• HABARI MPYA

    Tuesday, July 24, 2018

    TEGETE NA JUMA NYOSSO WAKIWA MAZOEZINI KAGERA SUGAR

    Wachezaji wa Kagera Sugar, mshambuliaji mpya, Jerry Tegete (kushoto) na beki Juma Nyosso (kulia) kabla ya kuanza mazoezi jana Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TEGETE NA JUMA NYOSSO WAKIWA MAZOEZINI KAGERA SUGAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top