Lucas Moura akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 28 na 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Roma katika mchezo Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa San Diego County Credit Union mjini San Diego, California, Marekani. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Fernando Llorente dakika za tisa na 18, wakati la kufutia machozi la Roma limefungwa na Patrik Schick dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everything you need to know about the 2024 London Marathon
-
Tributes will be paid to Kelvin Kiptum, a world record could be set and
famous faces take to the start line - here's everything you need to know
about this...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment