Bondia Dillian Whyte akimtazama mpinzani wake, Joseph Parker baada ya kumuangusha chini kwa mara ya pili katika raundi ya tisa alipomchapa ngumi kali ya kushoto katika pambano la raundi 12 kuwania mkanda wa WBC uzito wa Silver Heavy ukumbi wa 02 Arena mjini London. Whyte alishinda kwa pointi za majaji wote ( 115-110, 114-111, 113-112) na kutwaa taji hilo la WBC lililokuwa wazi na kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kuwania mkanda wa dunia, kwa uwezekano wa kurudiana na Muingereza mwenzake, Anthony Joshua baada ya kupoteza pambano la kwanza Desemba 12 mwaka 2015 kwa TKO raundi ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Top lawyer reveals the loophole that will save footy star Braydon Trindall
from getting in trouble for failing a drug test after partying with
teammates
-
The 24-year-old Cronulla star was pulled over at 9.45am on Monday in the
southern Sydney suburb of Caringbah. He has been stood down from training
and play...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment