Bondia Dillian Whyte akimtazama mpinzani wake, Joseph Parker baada ya kumuangusha chini kwa mara ya pili katika raundi ya tisa alipomchapa ngumi kali ya kushoto katika pambano la raundi 12 kuwania mkanda wa WBC uzito wa Silver Heavy ukumbi wa 02 Arena mjini London. Whyte alishinda kwa pointi za majaji wote ( 115-110, 114-111, 113-112) na kutwaa taji hilo la WBC lililokuwa wazi na kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kuwania mkanda wa dunia, kwa uwezekano wa kurudiana na Muingereza mwenzake, Anthony Joshua baada ya kupoteza pambano la kwanza Desemba 12 mwaka 2015 kwa TKO raundi ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kenya presidential election 2022: Raila Odinga and William Ruto in tight race
-
(BBC) With more than a third of the results from Kenya’s presidential
election now confirmed, the two main candidates are running neck and neck.
Deputy P...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni