Bondia Dillian Whyte akimtazama mpinzani wake, Joseph Parker baada ya kumuangusha chini kwa mara ya pili katika raundi ya tisa alipomchapa ngumi kali ya kushoto katika pambano la raundi 12 kuwania mkanda wa WBC uzito wa Silver Heavy ukumbi wa 02 Arena mjini London. Whyte alishinda kwa pointi za majaji wote ( 115-110, 114-111, 113-112) na kutwaa taji hilo la WBC lililokuwa wazi na kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kuwania mkanda wa dunia, kwa uwezekano wa kurudiana na Muingereza mwenzake, Anthony Joshua baada ya kupoteza pambano la kwanza Desemba 12 mwaka 2015 kwa TKO raundi ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iranian World Cup team risks more Trump fury with defiant act after landing
in Mexico amid bitter visa feud
-
Amid the ongoing conflict between the two countries, America has refused to
issue visas to some members of Iran's staff for the 2026 World Cup, which
gets ...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment