• HABARI MPYA

    Wednesday, July 25, 2018

    MAZOEZI YA SIMBA SC YALIVYOENDELEA LEO UTURUKI

    Mshambuliaji waSimba Adam Salamba akiwania mpira dhidi ya kiungo, Mohammed 'Mo' Ibrahim katika mazoezi ya timu hiyo kwenye moja ya viwanja vya hoteli ya Reen Park & Resorts mjini Istanbul 
    Mshambuliaji wa Simba Adam Salamba akimdhibiti Muzamil Yassin katika moja ya viwanja vya hoteli ya Reen Park & Resorts mjini Istanbul 
    Muzamil Yassin akipambana na Adam Salamba katika moja ya viwanja vya hoteli ya Reen Park & Resorts mjini Istanbul 
    Mshambuliaji mpya wa Simba SC, Mohammed Rashid akpigania Ulaya
    Simba Adam Salamba akimdhibiti Muzamil Yassin katika moja ya viwanja vya hoteli ya Reen Park & Resorts mjini Istanbul 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAZOEZI YA SIMBA SC YALIVYOENDELEA LEO UTURUKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top