• HABARI MPYA

    Monday, July 30, 2018

    MASHABIKI WA YANGA SC WANAVYOTESWA NA TIMU YAO

    Mashabiki wa Yanga wakitazama mchezo baina ya timu yao dhidi ya Gor Mahia ya Kenya jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam 
    Hadi mapumziko Yanga walikuwa nyuma kwa mabao 2-0, laini mwishowe wakafungwa 3-2 katika mchezo huo wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika 
    Hawa ni mashabiki wa mahasimu wao, Simba wakiwatabiria kufungwa 3-0 mapema tu kabla ya mchezo huo kuanza 
    Binti mdogo (kulia) anaonekana akimsemesha jamaa ambaye 'hayupo kabisa' eneo aliloketi
    Mashabiki wa Yanga kila mmoja kwa fikra na hisia zake jana 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MASHABIKI WA YANGA SC WANAVYOTESWA NA TIMU YAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top