Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 45 na 70 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Bayern Munich kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa Hard Rock mjini Miami Gardens, Florida, Marekani. Bao lingine la Man City limefungwa na Lukas Nmecha dakika ya 51 wakati ya Bayern Munich yamefungwa na Meritan Shabani dakika ya 15 na Arjen Robben dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gold Coast Titans coach Garth Brennan admits NRL coaching takes its toll after Paul Green death
-
Sacked Titans coach Garth Brennan has spoken out about the private pain he
felt post his 2019 dumping - saying Paul Green did it tough after two
consecutiv...
Dakika 50 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni