• HABARI MPYA

    Sunday, July 29, 2018

    MAN CITY YAICHAPA BAYERN MUNICH 3-2 MAREKANI

    Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 45 na 70 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Bayern Munich kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa Hard Rock mjini Miami Gardens, Florida, Marekani. Bao lingine la Man City limefungwa na Lukas Nmecha dakika ya 51 wakati ya Bayern Munich yamefungwa na Meritan Shabani dakika ya 15 na Arjen Robben dakika ya 24 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAICHAPA BAYERN MUNICH 3-2 MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top