Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang (mbele) akiwa kwenye maji akiupoza mwili baada ya mazoezi ya leo Uwanja wa Colney mjini London chini ya kocha mpya, Mspaniola, Unai Emery aliyechukua nafasi ya kocha wa muda mrefu, Mfaransa Arsene Wenger. Arsenal inatarajiwa kwenda Singapore Jumapili kushiriki Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy hilariously chugs a beer before belting out Journey's 'Don't
Stop Believin' on stage with Shane Lowry after the pair's victory at the
Zurich Classic in New Orleans
-
McIlroy and Lowry came through a playoff to win the competition at TPC
Louisiana, having put it on their respective schedules in a bid to jump up
the FedEx...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment