Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang (mbele) akiwa kwenye maji akiupoza mwili baada ya mazoezi ya leo Uwanja wa Colney mjini London chini ya kocha mpya, Mspaniola, Unai Emery aliyechukua nafasi ya kocha wa muda mrefu, Mfaransa Arsene Wenger. Arsenal inatarajiwa kwenda Singapore Jumapili kushiriki Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David Sullivan could be forced to sell his West Ham stake in wake of new
Independent Football Regulator rules - amid claims against co-owner, 77, of
abusing and preying on teenage girls for sex in BBC Panorama documentary
-
MIKE KEEGAN: David Sullivan could be forced to sell his stake in West Ham
United after he was accused of preying on women for sex.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment