Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang (mbele) akiwa kwenye maji akiupoza mwili baada ya mazoezi ya leo Uwanja wa Colney mjini London chini ya kocha mpya, Mspaniola, Unai Emery aliyechukua nafasi ya kocha wa muda mrefu, Mfaransa Arsene Wenger. Arsenal inatarajiwa kwenda Singapore Jumapili kushiriki Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FDA OKs first new sunscreen ingredient in more than 25 years
-
WASHINGTON (AP) — Federal health regulators on Tuesday signed off on the
first new sunscreen ingredient for the U.S. market in more than 25 years,
giving A...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment