Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang (mbele) akiwa kwenye maji akiupoza mwili baada ya mazoezi ya leo Uwanja wa Colney mjini London chini ya kocha mpya, Mspaniola, Unai Emery aliyechukua nafasi ya kocha wa muda mrefu, Mfaransa Arsene Wenger. Arsenal inatarajiwa kwenda Singapore Jumapili kushiriki Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Nazar scores OT power-play goal as Blackhawks beat Utah Mammoth 3-2
-
Frank Nazar scored a power-play goal with 2:24 left in overtime to give the
Chicago Blackhawks a 3-2 victory over the Utah Mammoth on Monday night.
Drew Co...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment