Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang (mbele) akiwa kwenye maji akiupoza mwili baada ya mazoezi ya leo Uwanja wa Colney mjini London chini ya kocha mpya, Mspaniola, Unai Emery aliyechukua nafasi ya kocha wa muda mrefu, Mfaransa Arsene Wenger. Arsenal inatarajiwa kwenda Singapore Jumapili kushiriki Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheeky cat tries to steal anglers' catch in Istanbul
-
A cheeky cat tried to swipe an angler's catch from a plastic bottle in
Maltepe, Istanbul, in early July. But the little thief's plan backfired
completely.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment