Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Liverpool kwa penalti dakika 28 ikiilaza Manchester United 4-1 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa Jumamosi Uwanja wa Michigan mjini Ann Arbor, Marekani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Daniel Sturridge dakika ya 66, Sheyi Ojo aliyejifunga dakika ya74 na Xherdan Shaqiri dakika ya 82, wakati la Man United limefungwa na Andreas Pereira dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment