• HABARI MPYA

    Sunday, July 29, 2018

    LIVERPOOL YAISHINDILIA MAN UNITED 4-1 MECHI YA KIRAFIKI MAREKANI

    Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Liverpool kwa penalti dakika 28 ikiilaza Manchester United 4-1 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa Jumamosi Uwanja wa Michigan mjini Ann Arbor, Marekani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Daniel Sturridge dakika ya 66, Sheyi Ojo aliyejifunga dakika ya74 na Xherdan Shaqiri dakika ya 82, wakati la Man United limefungwa na Andreas Pereira dakika ya 31 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAISHINDILIA MAN UNITED 4-1 MECHI YA KIRAFIKI MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top