Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Liverpool kwa penalti dakika 28 ikiilaza Manchester United 4-1 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa Jumamosi Uwanja wa Michigan mjini Ann Arbor, Marekani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Daniel Sturridge dakika ya 66, Sheyi Ojo aliyejifunga dakika ya74 na Xherdan Shaqiri dakika ya 82, wakati la Man United limefungwa na Andreas Pereira dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chargers GM Eyes More Than 'Fair Trade' to Deal No. 5 Pick in 2024 NFL Draft
-
The Los Angeles Chargers could be willing to give up their No. 5 pick in
next week's NFL draft, but general manager Joe Hortiz wants more than just
a "fair…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment