Wachezaji wa Azam FC, Wazimbabwe Tafadzwa Kutinyu (kulia) aliyesajiliwa kutoka Singida United na Donald Ngoma (kushoto) aliyesajiliwa kutoka Yanga SC wakijadiliana mambo wakati wa mazoezi Uwanja wa Chuo Kikuu Cha Makerere jijini Kampala, kwenye kambi ya Uganda leo asubuhi kujianda na msimu
Kiungo wa muda mrefu wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akikimbia mazoezini leo
Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo akikimbia leo mazoezini mjini Kampala
Mshambuliaji mpya, Daniel Lyanga kutoka Singida United akijifua leo
Mabeki, Mganda Nico Wadada (kulia) na David Mwantika kushoto wakijifua
Kutoka kulia viungo Mudathir Yahya na mshambuliaji Danny Lyanga kwa mbali
Raiders' Maxx Crosby, Rams' Puka Nacua Join Jordan Brand's Roster of Elite
Athletes
-
Las Vegas Raiders defensive end Maxx Crosby and Los Angeles Rams wide
receiver Puka Nacua are the newest members of Jordan Brand's expansion into
the NFL. ...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment