Mashabiki wakiwa wamebanana katika eneo dogo la Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha wakati wa fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC) Jumamosi kati ya Mtibwa Sugar na Singida United
Watu walijitokeza kwa wingi na kuondoa dhana kwamba viwanja vya Tanzania vinaweza kusheheni pale tu zinapocheza klabu kongwe, Simba na Yanga
Wengine waliokosa nafasi ya kuingia uwanjani walikwenda kukaa kwenye ghorofa hili lilio jirani na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
Wengine walipanda juu ya miti kuishuhudia burudani hiyo
Mtibwa Sugar ikaibuka na ushindi wa 3-2 na kubeba Kombe
Majukwaa yalipendeza na wachezaji wakatoa burudaniu nzuri uwanjani
Wengine waliketi juu ya ukuta wa uzio wa Uwanja
Mashabiki walikuwa wengi kiasi kwamba ilikuwa vigumu hata kugeuka
Jamaa hawa ilibidi wakae tu kwenye ukuta wa uzio wa Uwanja
Wrexham stars are treated to ANOTHER trip to Las Vegas after their
'monster' all-expenses holiday last year as Ryan Reynolds and Rob
McElhenney's side celebrate pulling off back-to-back promotions
-
The Welsh outfit sealed a return to League One for the first time in 19
years after finishing second in the fourth tier of English football,
earning 88 poi...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment