Adnan Januzaj akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya England kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia. Kwa matokeo hayo, Ubelgiji inamaliza katika nafasi ya kwanza kwenye Kundi G kwa pointi zake tisa, ikifuatiwa na England yenye pointi sita na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora huku Tunisia na Panama zikiishia hapa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's World Cup team 'plots' against America as regime commander declares
tournament a 'battlefield'
-
A prominent watchdog group is urging the US government to deny or revoke
visas for the Iranian national soccer team ahead of the World Cup.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment