Adnan Januzaj akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya England kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia. Kwa matokeo hayo, Ubelgiji inamaliza katika nafasi ya kwanza kwenye Kundi G kwa pointi zake tisa, ikifuatiwa na England yenye pointi sita na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora huku Tunisia na Panama zikiishia hapa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is there a right time for a Panenka - as Brentford pay the price?
-
Brentford are beaten by West Ham on penalties as Dango Ouattara is left to
rue a missed Panenka. Is there ever a right rime to take one?
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment