Adnan Januzaj akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya England kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia. Kwa matokeo hayo, Ubelgiji inamaliza katika nafasi ya kwanza kwenye Kundi G kwa pointi zake tisa, ikifuatiwa na England yenye pointi sita na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora huku Tunisia na Panama zikiishia hapa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Coast champion Chris Lewis reveals he may have played on if AFL acted on racist crowds
-
West Coast Eagles champion Chris Lewis retired before his time in 2000. He
has revealed he might have played on if the AFL acted on racism earlier.
Dakika 38 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni