Mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi leo kwenye mchezo wa Kundi A Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena. Mabao mengine ya Uruguay yamefungwa na Denis Cheryshev dakika ya 23 na Edinson Cavani dakika ya 90 na kwa matokeo hayo inamaliza kileleni kwa Kundi A ikifuatiwa na Urusi na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UNN VC deepens varsity’s global footprint with TÜRKIYE academic
collaboration
-
From Felix Ikem, Nsukka The Vice-Chancellor of the University of
Nigeria, Nsukka (UNN), Prof Simon Ortuanya, has reaffirmed his
administration’s comm...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment