Mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi leo kwenye mchezo wa Kundi A Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena. Mabao mengine ya Uruguay yamefungwa na Denis Cheryshev dakika ya 23 na Edinson Cavani dakika ya 90 na kwa matokeo hayo inamaliza kileleni kwa Kundi A ikifuatiwa na Urusi na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment