Mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi leo kwenye mchezo wa Kundi A Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena. Mabao mengine ya Uruguay yamefungwa na Denis Cheryshev dakika ya 23 na Edinson Cavani dakika ya 90 na kwa matokeo hayo inamaliza kileleni kwa Kundi A ikifuatiwa na Urusi na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea's Bright on 'biggest game of career' against Barca
-
Chelsea captain Millie Bright tells BBC Sport it is the "biggest game of
our careers" as the Blues prepare to take on Barcelona in the Women's
Champions Le...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment