KANE APIGA ZOTE MBILI ENGLAND YAICHINJA TUNISIA 2-1 KUNDI G
Harry Kane akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao mawili England dakika za 11 na 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tunisia kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia Jumatatu Uwanja wa Volgograd nchini Urusi. Bao la Tunisia limefungwa na Ferjan Sassi kwa penalti dakika ya 35PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni