Cristiano Ronaldo akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote matatu Ureno dakika za nne kwa penalti, 44 na 88 katika sare ya tatu na Hispania kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia usiku wa Ijumaa Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi, Urusi. Mabao ya Hispania yalifungwa na Diego Costa mawili dakika za 24 na 55 na Nacho dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Guardiola found his best Man City XI
-
Manchester City are finishing the season strongly - having looked at one
stage as if the Premier League title may elude them. Here's how Pep
Guardiola went...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment