Cristiano Ronaldo akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote matatu Ureno dakika za nne kwa penalti, 44 na 88 katika sare ya tatu na Hispania kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia usiku wa Ijumaa Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi, Urusi. Mabao ya Hispania yalifungwa na Diego Costa mawili dakika za 24 na 55 na Nacho dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal wonderkid 'attempted to force tenants out by peering through
living room blinds and moving in with his family' - as he is accused in
court of making their lives 'hell'
-
McGregor, who moved into the home with her mum, Fay, revealed the former
Arsenal wonderkid, who was present in court, had made her life 'hell'.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment