Nahodha wa Peru, Paolo Guerrero aliyepambana na adhabu ya kufungiwa kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu kwa miezi saba ili kupata nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Urusi akishangilia baada ya kuifingia timu yake bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Australia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi baada ya Andre Carrillo kufunga la kwanza dakika ya 18. Pamoja na ushindi huo wa kwanza baada ya miaka 40, Peru imetolewa sambamba na Australia zikiziacha Ufaransa na Denmark zikisonga mbele hatua ya 16 Bora kutoka Kundi C PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'These English pundits are clueless!' Micah Richards mocked as he gets his
Champions League predictions totally WRONG after Man City suffer penalty
heartbreak against Real Madrid and Arsenal crash out against Bayer Munich
-
Predicting the outcome of the Champions League quarter-finals can be a
fool's errand, as Michael Richards found out the hard way.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment