• HABARI MPYA

    Tuesday, June 26, 2018

    PERU YASHINDA MECHI KOMBE LA DUNIA BAADA YA MIAKA 40

    Nahodha wa Peru, Paolo Guerrero aliyepambana na adhabu ya kufungiwa kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu kwa miezi saba ili kupata nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Urusi akishangilia baada ya kuifingia timu yake bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Australia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi baada ya Andre Carrillo kufunga la kwanza dakika ya 18. Pamoja na ushindi huo wa kwanza baada ya miaka 40, Peru imetolewa sambamba na Australia zikiziacha Ufaransa na Denmark zikisonga mbele hatua ya 16 Bora kutoka Kundi C 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PERU YASHINDA MECHI KOMBE LA DUNIA BAADA YA MIAKA 40 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top