Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Croatia dakika ya 90 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi. Milan Badelj alianza kuifungia Croatia dakika ya 53 kaba ya Gylfi Sigurdsson kusawazisha dakika ya 76 kwa penalti kufuatia Dejan Lovren kucheza rafu kwenye boksi. Croatia inamaliza mechi za makundi ikishinda zote tatu baada ya kuzifunga pia Argentina na Nigeria na sasa itakutana na Denmark katika 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Parents of Super Bowl champion who died by suicide at 38 suspect he
suffered from CTE... but admit they'll never know the truth
-
The parents of late NFL offensive lineman Jordan Devey have opened up about
his suicide and their suspicion that he suffered from a degenerative brain
dise...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment