Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Croatia dakika ya 90 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi. Milan Badelj alianza kuifungia Croatia dakika ya 53 kaba ya Gylfi Sigurdsson kusawazisha dakika ya 76 kwa penalti kufuatia Dejan Lovren kucheza rafu kwenye boksi. Croatia inamaliza mechi za makundi ikishinda zote tatu baada ya kuzifunga pia Argentina na Nigeria na sasa itakutana na Denmark katika 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United enter the race for in-demand Leipzig forward Dani Olmo
who has a £52m release clause this summer - but face competition from Real
Madrid, Man City, Chelsea and Tottenham for the Spain international
-
SIMON JONES: The 25-year-old Spain international is continuing to excel at
Red Bull Leipzig and has a clause that becomes active this summer when he
can le...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment