Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Croatia dakika ya 90 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi. Milan Badelj alianza kuifungia Croatia dakika ya 53 kaba ya Gylfi Sigurdsson kusawazisha dakika ya 76 kwa penalti kufuatia Dejan Lovren kucheza rafu kwenye boksi. Croatia inamaliza mechi za makundi ikishinda zote tatu baada ya kuzifunga pia Argentina na Nigeria na sasa itakutana na Denmark katika 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment