Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Croatia dakika ya 90 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi. Milan Badelj alianza kuifungia Croatia dakika ya 53 kaba ya Gylfi Sigurdsson kusawazisha dakika ya 76 kwa penalti kufuatia Dejan Lovren kucheza rafu kwenye boksi. Croatia inamaliza mechi za makundi ikishinda zote tatu baada ya kuzifunga pia Argentina na Nigeria na sasa itakutana na Denmark katika 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John McGinn bursting with pride over giant mural in his home town as he
reveals the move to MLS that might have changed his career dramatically
-
As just the second captain in Aston Villa's history to lift a European
trophy, John McGinn might well find his image cast in bronze in the
Midlands one day.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment