Yuya Osako (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Japan dakika ya 73 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Colombia kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Uwanja wa Mordovia Arena mjini Saransk, Urusi. Wengine ni Yuto Nagatomo (kushoto) na Maya Yoshida. Bao la Kwanza la Japan lilifungwa na Shinji Kagawa dakika ya sita kabla ya Juan Fernando Quintero kuisawazishia Colombia dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kevin De Bruyne named Premier League Player of the Season
-
Kevin De Bruyne has been crowned the Premier League Player of the Season
for 2021-22. The 30-year-old joins Arsenal's Thierry Henry and Manchester
United's...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni