Yuya Osako (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Japan dakika ya 73 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Colombia kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Uwanja wa Mordovia Arena mjini Saransk, Urusi. Wengine ni Yuto Nagatomo (kushoto) na Maya Yoshida. Bao la Kwanza la Japan lilifungwa na Shinji Kagawa dakika ya sita kabla ya Juan Fernando Quintero kuisawazishia Colombia dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford offers worrying update as he speaks out over 'months and
months of abuse' after being booed by Man United fans - as supporters pin
the blame on YouTuber's rants
-
Marcus Rashford (left) has endured a difficult season on the pitch, failing
to match the achievements of his 30-goal haul during the 2022-23 campaign,
scor...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment