Mshambuliaji Radamel Falcao wa Colombia akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Poland Jumapili kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Kazan, Urusi. Mabao mengine ya Colombia yamefungwa na Yerry Mina dakika ya 40 na Juan Cuadrado dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup quarter-final draw LIVE: Arsenal, Chelsea, Liverpool and Man City to
learn their last-eight opponents alongside surprise contenders Port Vale
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest news and updates from
the quarter-final draw of the FA Cup.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment