Mshambuliaji Radamel Falcao wa Colombia akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Poland Jumapili kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Kazan, Urusi. Mabao mengine ya Colombia yamefungwa na Yerry Mina dakika ya 40 na Juan Cuadrado dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Auburn's Bruce Pearl Slams Fans for Criticizing Chad Baker-Mazara After
Yale Ejection
-
Auburn head coach Bruce Pearl came to the defense of Chad Baker-Mazara
after the junior guard was ejected from the Tigers' 78-76 loss to Yale in
the first…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment