Mshambuliaji Radamel Falcao wa Colombia akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Poland Jumapili kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Kazan, Urusi. Mabao mengine ya Colombia yamefungwa na Yerry Mina dakika ya 40 na Juan Cuadrado dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bahrain Grand Prix to be hosted in Malaysia in bizarre change to F1
calendar after Middle East chaos - with another extra race lined up
-
Daily Mail Sport understands the replacement venue will be announced,
probably as early as Sunday, to fill a gap left by war in the Middle East.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment