Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa haamini macho yake baada ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia wakitolewa na Uruguay kwa kufungwa Ureno 2-1 Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi leo. Ronaldo wa klabu ya Real Madrid, anaungana na hasimu wa La Liga, Lionel Messi wa Barcelona ambaye timu yake, Argentina imetolewa na Ufaransa leo pia katika mchezo uliotangulia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans rip 'daily cringe' Tom Brady as he reveals crass name for his new
coconut drink
-
The 48-year-old shared a video on Instagram of his latest business venture,
where he leans into the name that stunned a few of his followers when they
saw ...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment