Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa haamini macho yake baada ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia wakitolewa na Uruguay kwa kufungwa Ureno 2-1 Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi leo. Ronaldo wa klabu ya Real Madrid, anaungana na hasimu wa La Liga, Lionel Messi wa Barcelona ambaye timu yake, Argentina imetolewa na Ufaransa leo pia katika mchezo uliotangulia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Todd Boehly's £4.25bn Chelsea takeover clears FINAL hurdle as Portugal's government authorise sale
-
The Portuguese government has authorised the sale of Chelsea by Roman
Abramovich, with an announcement now expected 'imminently'.
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni