Mshambuliaji wa Misri, Mohamed Salah akimtoka beki wa Urusi anayejaribu kumkwatua wakati wa mchezo wa Kundi A Kombe la Dunia Uwanja wa St Petersburg mjini Moscow. Urusi imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Ahmed Fathy aliyejifunga dakika ya 47, Denis Cheryshev dakika ya 59 na Artem Dzyuba dakika ya 62 wakati la Misri limefungwa na Mohamed Salah kwa penalti dakika ya 73. Huo unakuwa mchezo wa pili Misri inapoteza baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay kwenye mchezo wa kwanza na sasa wanahitaji miujiza ili kwenda hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dave Portnoy reveals HUGE $150,000 bet on the Stanley Cup winner... which
would give Barstool boss $1MILLION profit as he aims to continue hot streak
-
Portnoy has the Edmonton Oilers winning the Cup at +700 odds on DraftKings
SportsBook. A win for the Oilers will extend Portnoy's hot streak in sports
bett...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment