Mkuu wa Idara ya Masoko wa SportPesa Afrika Mashariki, Kelvin Jackson Twissa (kulia) ameposti picha hii akiwa na bingwa wa zamani wa uzito wa juu wa WBC, Anthony Lewis Bellew maarufu tu kama Tonny Bellew ambaye ameteuliwa kuwa Balozi wa kampuni hiyo. Picha hii wamepiga makao makuu ya SportPesa mjini Liverpool, Merseyside, England
Bernard Tomic challenges Nick Kyrgios to stump up $1million for winner-takes-all tennis match
-
Bernard Tomic has told Nick Kyrgios to 'put your money where your mouth is'
and challenged his rival to take part in a winner-takes-all showdown worth
$2mi...
Dakika 16 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni