Beki wa Colombia, Yerry Mina akipiga magoti kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi timu yake dakika ya 74 ikiilaza 1-0 Senegal katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia leo Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Kwa matokeo hayo, Colombia imeungana na Japan kwenda hatua ya 16 Bora, huku Senegal ikiungana na timu nyingine za Afrika, Nigeria, Morocco, Misri na Tunisia kuaga mashindano huku Poland nayo ikitolewa pamoja na kushinda 1-0 dhidi ya Japan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FIFA World Cup trophy lands in Kenya
-
The FIFA World Cup Trophy tour ahead of the men's World Cup 2022 in Qatar
arrives in Kenya, today for a two-day tour. The Trophy lands at the JKIA
today an...
Dakika 44 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni