• HABARI MPYA

    Wednesday, June 20, 2018

    RONALDO AIFUNGIA BAO PEKEE URENO YAICHAPA 1-0 MOROCCO

    Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia kwa furaha baada ya kuifungia Ureno bao pekee dakika ya nne katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Morocco kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow leo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AIFUNGIA BAO PEKEE URENO YAICHAPA 1-0 MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top