Mshambuliaji Edinson Cavani akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Uruguay dakika za saba (7) na 62 ikiilaza Ureno 2-1 Ureno katika hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi, Urusi na sasa itakutana na Ufaransa katika Robo Fainali. Bao la Ureno lilifungwa na Pepe dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ronda Rousey breaks down in tears as she reveals two miscarriages in 2019
-
Rousey was emotional while recalling her first miscarriage from five years
ago, as she fell pregnant a week before filming an episode of 9-1-1, where
she a...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment