Mshambuliaji Edinson Cavani akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Uruguay dakika za saba (7) na 62 ikiilaza Ureno 2-1 Ureno katika hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi, Urusi na sasa itakutana na Ufaransa katika Robo Fainali. Bao la Ureno lilifungwa na Pepe dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John McGinn bursting with pride over giant mural in his home town as he
reveals the move to MLS that might have changed his career dramatically
-
As just the second captain in Aston Villa's history to lift a European
trophy, John McGinn might well find his image cast in bronze in the
Midlands one day.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment