Winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa Difaa Hassan El- Jadida juzi mjini Jadida nchini Morocco wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mechi za makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika na kwa ujumla pamoja na msimu mpya kufuatia mapumziko ya wiki tatu. Msuva amerejea Morocco wiki hii baada ya kuwa nyumbani kwa mapumziko kwa muda wote huo
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment