Javier Hernandez akishangilia baada ya kuifungia Mexico bao la ushindi dakika ya 66 ikiilaza Korea Kusini 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi. Hiyo ni baada ya Carlos Vela kuanza kuifungia Mexico dakika ya 26 na kabla ya Son Heung-Min kuifungia Korea Kusini bao la kufutia machozi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans rip 'daily cringe' Tom Brady as he reveals crass name for his new
coconut drink
-
The 48-year-old shared a video on Instagram of his latest business venture,
where he leans into the name that stunned a few of his followers when they
saw ...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment